Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Monday, May 31, 2010
Elibariki Mafore
Afisa Habari wa Mkoa, Elibariki Mafore katika mafunzo haya ya Effectice Rural Photojournalism Coaching (ERPC) alitupia macho changamoto za makundi maalumu yakiwamo yale ya wasio na makazi maalumu ambao wengi wao udhaniwa kuwa wamerukwa na akili.
Happy Severine - Elimu vijijini na changamoto zake
Friday, May 28, 2010
Mary Mpandula na Elimu na mimba kwa wasichana
"ukitaka kumsaidia masikini somesha mtoto wake" Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwai kusema wakati fulani.
Mary Mpandula alimulika zaidi changamoto za elimu kwa watoto wa kike na zaidi ikiwa ni mimba zisizotarajiwa jinsi gani zimekuwa zikikatiza si tu ndoto za watoto wa kike kama Hatia na Hakika wa kijiji cha Nyangao, Wilaya ya Lindi vijijini katika Mkoa wa Lindi bali pia na wazazi wao, jamii na Taifa kwa ujumla.
Utegele Ibrahim na Changamoto ya maji safi Mchinga
Thursday, May 27, 2010
Kijakazi Yunus na Mazingira
Christopher Lilai na Kivuko cha Mto Lukuledi
Christopher Lilai, Mwandishi mwandamizi na Mwenyekiti wa Lindi Press Club ktk Mafunzo ya vitendo ya uwasilishi wa habari kwa njia ya picha alimulika adha waipatayo wakazi wa vijiji vya Mtumbya, Nyendegi na Mtandi la kukosa kivuko ktk Mto Lukuledi ambao unaunganisha vijiji hivyo ktk Wilaya ya Lindi Vijijini.
Denny Mkuchu - Miundombinu ya Wafugaji
D. Mkuchu, Mwandishi wa siku nyingi na mwakilishi wa ITV/Redio One mkoani Lindi, katika mafunzo kwa vitendo toka FTMT aliangalia tatizo la kutelekezwa kwa miundombinu Majosho na mabwawa ya Wafugaji ambayo imejengwa na serikali kwa gharama kubwa katika kijiji cha Marendego, Wilaya ya Kilwa na kufunguliwa kwa mbwembwe lakini haijawai kutumika.
Tuesday, May 18, 2010
lindi - Single images.
This is from Christopher Lilai on Lukuledi River.
From Said hamdani on Ruangwa artisan miners.
From Elibariki Mafore on disadvantaged groups.
From Mary Mpandula collection on early and school girl's pregnancy.
From Kijakazi Yunus collection on environment.
From Happy Severine gallery on Education.
From Athuman Mtepa gallery on infrastructure vandalism.
From Said hamdani on Ruangwa artisan miners.
From Elibariki Mafore on disadvantaged groups.
From Mary Mpandula collection on early and school girl's pregnancy.
From Kijakazi Yunus collection on environment.
From Happy Severine gallery on Education.
From Athuman Mtepa gallery on infrastructure vandalism.
Most of these journalists are writing journalists who had never used cameras before, but after ten days of throughly coaching and practice they have managed to deliver the above results.
Wednesday, May 12, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Katika kipindi cha miaka kumi na sita tangu mwaka 1993 hadi 2010, kumekuwa kukiripotiwa taarifa mbalimbali za ujambazi na mauaji ya wanan...
-
Maternal Health also poses a great challenge in the country to expecting mothers, Mwajabu Kijazi focused on the subject.
-
Flame Tree Media Trust presented Photography Areas/Maeneo on Thursday 17 th June/7 pm at Goethe-Institut The first images of the on going ...
-
Katika miaka ya hivi karibuni nchi yetu imekumbwa na wimbi la mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino), ambayo chanzo chake kikubwa ni imani p...
-
Utegele Ibrahim, ni Mwakilishi wa TBC Mkoani Lindi na ni Katibu wa LPC, yeye aliangalia changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kat...
-
FTMT Team arrived in Rocky on Tuesday for ten days coaching program. there after will head for Mara Region for the same purpose. EFFECTIV...
-
Ubadhilifu wa miundombinu kama barabara na wizi wa vifaa vya madaraja pamoja na mabomba ya alama za barabarani ni tatizo kubwa si tu kwa mko...
-
Na Christopher Lilai/ftmt/TMF Ukosefu wa daraja kwenye mto Lukuledi unaounganisha Makao Makuu ...
-
Liko tatizo kubwa la ujenzi na utumiaji wa vyoo hasa kwa wakazi wa Kilwa, Abdulaziz ahmed aliangaza tatizo hilo kwa njia ya picha.