Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Tuesday, August 31, 2010
Zenji class highlights.
Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Monday, August 30, 2010
After Shinyanga, all the way to ZANZIBAR.
Friday, August 27, 2010
Je ni kwanini habari za vijijini ama mikoani ni chache?
single images from Shinyanga,
KWASHAKOO NI UGONJWA UNAOSABABISHWA NA UKOSEFU WA VIRUTUBISHO MWILINI KUTOKANA NA KULA VYAKULA VYA AINA MOJA NA HII HASA NIKATIKA JAMII INAYOISHI MAENEO YA VIJIJINI KUTOKANA NA JAMII HIYO KUTOJIWEZA KWA KIPATO PAMOJA NA KUTOKUPATA ELIMU KUHUSU SUALA LA UGONJWA HUO,
Moses Augustine aliangalia changamoto hii ktk moja ya familia wilayani Bariadi.
Single images from Shinyanga,
Mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( Albino) ambayo yaliibuka na kuenea kwa kasi hasa kanda ya ziwa kutokana na imani potofu za kishirikina, yameacha simanzi kubwa kwa baadhi ya watu waliokuwa tegemezi katika familia hizo.
Shija Felician alimulika mmoja wa waathirika hao Bi Craides Masunga (31)mkazi wa kijiji cha Bunyihuna Wilayani Bukombe Mkoani Shinyanga, mama huyo mzazi wa Matatizo Dunia aliyeuawa kutokana na ulemavu wa ngozi, Kijana huyo alikuwa ni tegemeo pekee kwa mama huyu.
single images from Shinyanga,
single images from Shinyanga,
Tuesday, August 17, 2010
Monday, August 9, 2010
single images from Shinyanga,
Single images from Shinyanga,
Popular Posts
-
Utegele Ibrahim, ni Mwakilishi wa TBC Mkoani Lindi na ni Katibu wa LPC, yeye aliangalia changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kat...
-
Katika kipindi cha miaka kumi na sita tangu mwaka 1993 hadi 2010, kumekuwa kukiripotiwa taarifa mbalimbali za ujambazi na mauaji ya wanan...
-
Maternal Health also poses a great challenge in the country to expecting mothers, Mwajabu Kijazi focused on the subject.
-
Flame Tree Media Trust presented Photography Areas/Maeneo on Thursday 17 th June/7 pm at Goethe-Institut The first images of the on going ...
-
Katika miaka ya hivi karibuni nchi yetu imekumbwa na wimbi la mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino), ambayo chanzo chake kikubwa ni imani p...
-
FTMT Team arrived in Rocky on Tuesday for ten days coaching program. there after will head for Mara Region for the same purpose. EFFECTIV...
-
Ubadhilifu wa miundombinu kama barabara na wizi wa vifaa vya madaraja pamoja na mabomba ya alama za barabarani ni tatizo kubwa si tu kwa mko...
-
Na Christopher Lilai/ftmt/TMF Ukosefu wa daraja kwenye mto Lukuledi unaounganisha Makao Makuu ...
-
Liko tatizo kubwa la ujenzi na utumiaji wa vyoo hasa kwa wakazi wa Kilwa, Abdulaziz ahmed aliangaza tatizo hilo kwa njia ya picha.