Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Pages
Tuesday, August 31, 2010
Zenji class highlights.
Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Monday, August 30, 2010
After Shinyanga, all the way to ZANZIBAR.
Dear PT Blog leaders get ready for interesting and captivating single images from the Spices Island. Friday, August 27, 2010
Je ni kwanini habari za vijijini ama mikoani ni chache?

Ktk ERPC, FTMT ilijaribu kutaka kupata maoni toka kwa washiriki kuhusu kwa nini wanadhani habari za Mikoani ni chache katika magazeti yetu?single images from Shinyanga,
KWASHAKOO NI UGONJWA UNAOSABABISHWA NA UKOSEFU WA VIRUTUBISHO MWILINI KUTOKANA NA KULA VYAKULA VYA AINA MOJA NA HII HASA NIKATIKA JAMII INAYOISHI MAENEO YA VIJIJINI KUTOKANA NA JAMII HIYO KUTOJIWEZA KWA KIPATO PAMOJA NA KUTOKUPATA ELIMU KUHUSU SUALA LA UGONJWA HUO,
Moses Augustine aliangalia changamoto hii ktk moja ya familia wilayani Bariadi.
Single images from Shinyanga,
Mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( Albino) ambayo yaliibuka na kuenea kwa kasi hasa kanda ya ziwa kutokana na imani potofu za kishirikina, yameacha simanzi kubwa kwa baadhi ya watu waliokuwa tegemezi katika familia hizo.
Shija Felician alimulika mmoja wa waathirika hao Bi Craides Masunga (31)mkazi wa kijiji cha Bunyihuna Wilayani Bukombe Mkoani Shinyanga, mama huyo mzazi wa Matatizo Dunia aliyeuawa kutokana na ulemavu wa ngozi, Kijana huyo alikuwa ni tegemeo pekee kwa mama huyu.
single images from Shinyanga,
single images from Shinyanga,
Tuesday, August 17, 2010
Monday, August 9, 2010
single images from Shinyanga,
Single images from Shinyanga,
Shinyanga ni mji maarufu sana kwa utajiri wa Almasi, Dhahabu, Ng'ombe na madini mengine, lakini pia mji huu wenye wakazi wapatao milion 3 una umaarufu mwingine ambao kwa kiasi kikubwa unafifisha umaarufu mwingine, nao ni mauaji ya vikongwe. Popular Posts
-
“Don’t you dare go through that road guys, you won’t make it, unless you want to spend some days in the jungle” we were warned, “if you want...
-
Sima Bingileki a Iringa Municipal Television focused on the Domestic Violence that are rampant in our society nowadays. The Effective R...
-
SAUTI NYAMAVU – “SILENT VOICES” A PHOTO EXHIBITION BY PARTICIPANTS OF THE EFFECTIVE RURAL PHOTOJOURNALISM COACHING AN FTMT & T...
-
Katika kipindi cha miaka kumi na sita tangu mwaka 1993 hadi 2010, kumekuwa kukiripotiwa taarifa mbalimbali za ujambazi na mauaji ya wanan...
-
1st of Effective Rural Photojournalism Coaching in Lindi Region by Flame Tree Media Trust under the support of Tanzania Media Fund in photos...
-
A large proportion of the Zanzibar export earnings come from cloves. The greatest concentration of clove trees is found on Pemba, as grow...
-
Opening the 3rd Exhibition in Paris, The French Minister for Culture and Communication, Frederic Mitterrand, said, "Mwanzo, I am dee...
-
The final preparation for the Effective Rural Photojournalism Coaching, the Flame Tree Media Trust office was in a mess during the last day ...

Raymond Mihayo na tumaini jipya kwa wasichana walioacha shule kutokana na kupata mimba lakini sasa wameweza kurejea tena kuendelea na masomo.










