
Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Pages
Tuesday, August 31, 2010
Zenji class highlights.

Monday, August 30, 2010
After Shinyanga, all the way to ZANZIBAR.

Friday, August 27, 2010
Je ni kwanini habari za vijijini ama mikoani ni chache?


single images from Shinyanga,

KWASHAKOO NI UGONJWA UNAOSABABISHWA NA UKOSEFU WA VIRUTUBISHO MWILINI KUTOKANA NA KULA VYAKULA VYA AINA MOJA NA HII HASA NIKATIKA JAMII INAYOISHI MAENEO YA VIJIJINI KUTOKANA NA JAMII HIYO KUTOJIWEZA KWA KIPATO PAMOJA NA KUTOKUPATA ELIMU KUHUSU SUALA LA UGONJWA HUO,
Moses Augustine aliangalia changamoto hii ktk moja ya familia wilayani Bariadi.
Single images from Shinyanga,

Mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( Albino) ambayo yaliibuka na kuenea kwa kasi hasa kanda ya ziwa kutokana na imani potofu za kishirikina, yameacha simanzi kubwa kwa baadhi ya watu waliokuwa tegemezi katika familia hizo.
Shija Felician alimulika mmoja wa waathirika hao Bi Craides Masunga (31)mkazi wa kijiji cha Bunyihuna Wilayani Bukombe Mkoani Shinyanga, mama huyo mzazi wa Matatizo Dunia aliyeuawa kutokana na ulemavu wa ngozi, Kijana huyo alikuwa ni tegemeo pekee kwa mama huyu.
single images from Shinyanga,
single images from Shinyanga,
Tuesday, August 17, 2010
Monday, August 9, 2010
single images from Shinyanga,
Single images from Shinyanga,

Popular Posts
-
Canon EF 300mm f/2.8L IS II USM
-
© Wilson Elisha, Mwanza © Vicky Macha, Kalenga Utegele Ibrahim, Mchinga Twalad Salum, Mwanza Salim Twalib Omar, Micheweni © Sheilla Sezzy, U...
-
© Jumanne Gange, Kigoma © Happy Severine © Haji Khatibu Haji, Zanzibar © Haroub Hussein Khamis, Zanzibar © Friday Simbaya, Iringa © Fredrick...
-
Flame Tree Media Trust in collaboration with Time School of Journalism (TSJ) Announces Photojournalism Courses to begin soon at a newly es...
-
Opening the 3rd Exhibition in Paris, The French Minister for Culture and Communication, Frederic Mitterrand, said, "Mwanzo, I am dee...
-
FTMT team is in Kigoma for the ERPC program, Kigoma or as it famously known as "Mwisho wa Reli" is the last of the six regions for...
-
"SILENT VOICES" at Allliance Francaise in Dar es Salaam along Ali Hassan Mwinyi near Las Vegas, opened on Thursday 28 April will r...
-
Ktk ERPC, FTMT ilijaribu kutaka kupata maoni toka kwa washiriki kuhusu kwa nini wanadhani habari za Mikoani ni chache katika magazeti yetu? ...
-
A large proportion of the Zanzibar export earnings come from cloves. The greatest concentration of clove trees is found on Pemba, as grow...