
Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Pages
Tuesday, August 31, 2010
Zenji class highlights.

Monday, August 30, 2010
After Shinyanga, all the way to ZANZIBAR.

Friday, August 27, 2010
Je ni kwanini habari za vijijini ama mikoani ni chache?


single images from Shinyanga,

KWASHAKOO NI UGONJWA UNAOSABABISHWA NA UKOSEFU WA VIRUTUBISHO MWILINI KUTOKANA NA KULA VYAKULA VYA AINA MOJA NA HII HASA NIKATIKA JAMII INAYOISHI MAENEO YA VIJIJINI KUTOKANA NA JAMII HIYO KUTOJIWEZA KWA KIPATO PAMOJA NA KUTOKUPATA ELIMU KUHUSU SUALA LA UGONJWA HUO,
Moses Augustine aliangalia changamoto hii ktk moja ya familia wilayani Bariadi.
Single images from Shinyanga,

Mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( Albino) ambayo yaliibuka na kuenea kwa kasi hasa kanda ya ziwa kutokana na imani potofu za kishirikina, yameacha simanzi kubwa kwa baadhi ya watu waliokuwa tegemezi katika familia hizo.
Shija Felician alimulika mmoja wa waathirika hao Bi Craides Masunga (31)mkazi wa kijiji cha Bunyihuna Wilayani Bukombe Mkoani Shinyanga, mama huyo mzazi wa Matatizo Dunia aliyeuawa kutokana na ulemavu wa ngozi, Kijana huyo alikuwa ni tegemeo pekee kwa mama huyu.
single images from Shinyanga,
single images from Shinyanga,
Tuesday, August 17, 2010
Monday, August 9, 2010
single images from Shinyanga,
Single images from Shinyanga,

Popular Posts
-
"SILENT VOICES" at Allliance Francaise in Dar es Salaam along Ali Hassan Mwinyi near Las Vegas, opened on Thursday 28 April will r...
-
Tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana, wake kwa waume na hasa mijini ni kubwa sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, hii ili...
-
Juviniles in the minning by Fredrick Katulanda, Member of MPC and Mwananchi Communication Reporter.
-
Ufyatuaji, uuzaji na utumiaji wa tofali za kuchoma mkoani Kigoma ulimulikwa za Edward Kigadye.
-
Ktk ERPC, FTMT ilijaribu kutaka kupata maoni toka kwa washiriki kuhusu kwa nini wanadhani habari za Mikoani ni chache katika magazeti yetu? ...
-
This is from Christopher Lilai on Lukuledi River. From Said hamdani on Ruangwa artisan miners. From Elibariki Mafore on disadvantaged groups...
-
Utegele Ibrahim, ni Mwakilishi wa TBC Mkoani Lindi na ni Katibu wa LPC, yeye aliangalia changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kat...
-
Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.