

Ester Sumira na maisha ya wafugaji mkoani humo kwa kuangalia maisha ya Mzee Sumuni Mhyeni (80) mkazi wa kijiji cha Mwamalili kata ya Nangale Wilaya ya Bariadi, Mzee huyu ni miongoni mwa wafugaji wakubwa wa ng’ombe,ambaye anajumla ya ng’ombe 600 pamoja na mbuzi 31.
No comments:
Post a Comment