Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Mariam Towers, 7th Floor, P.o Box 76965, Dar es Salaam. Email: ftmt.erpc@gmail.com
Pages
Tuesday, August 31, 2010
Zenji class highlights.
Sharifa and Mgeni gets the insight of DSLR during ERPC program last week, watch out for their works here.
Monday, August 30, 2010
After Shinyanga, all the way to ZANZIBAR.
Dear PT Blog leaders get ready for interesting and captivating single images from the Spices Island. Friday, August 27, 2010
Je ni kwanini habari za vijijini ama mikoani ni chache?

Ktk ERPC, FTMT ilijaribu kutaka kupata maoni toka kwa washiriki kuhusu kwa nini wanadhani habari za Mikoani ni chache katika magazeti yetu?single images from Shinyanga,
KWASHAKOO NI UGONJWA UNAOSABABISHWA NA UKOSEFU WA VIRUTUBISHO MWILINI KUTOKANA NA KULA VYAKULA VYA AINA MOJA NA HII HASA NIKATIKA JAMII INAYOISHI MAENEO YA VIJIJINI KUTOKANA NA JAMII HIYO KUTOJIWEZA KWA KIPATO PAMOJA NA KUTOKUPATA ELIMU KUHUSU SUALA LA UGONJWA HUO,
Moses Augustine aliangalia changamoto hii ktk moja ya familia wilayani Bariadi.
Single images from Shinyanga,
Mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ( Albino) ambayo yaliibuka na kuenea kwa kasi hasa kanda ya ziwa kutokana na imani potofu za kishirikina, yameacha simanzi kubwa kwa baadhi ya watu waliokuwa tegemezi katika familia hizo.
Shija Felician alimulika mmoja wa waathirika hao Bi Craides Masunga (31)mkazi wa kijiji cha Bunyihuna Wilayani Bukombe Mkoani Shinyanga, mama huyo mzazi wa Matatizo Dunia aliyeuawa kutokana na ulemavu wa ngozi, Kijana huyo alikuwa ni tegemeo pekee kwa mama huyu.
single images from Shinyanga,
single images from Shinyanga,
Tuesday, August 17, 2010
Monday, August 9, 2010
single images from Shinyanga,
Single images from Shinyanga,
Shinyanga ni mji maarufu sana kwa utajiri wa Almasi, Dhahabu, Ng'ombe na madini mengine, lakini pia mji huu wenye wakazi wapatao milion 3 una umaarufu mwingine ambao kwa kiasi kikubwa unafifisha umaarufu mwingine, nao ni mauaji ya vikongwe. Popular Posts
-
Chama cha Waandishi Mkoa Dodoma kinaweletea maonesho ya picha "SAUTI ZISIZOSIKIKA" kuanzia tarehe 11 - 15 Aprili 2011 katika ukumb...
-
FTMT Team arrived in Rocky on Tuesday for ten days coaching program. there after will head for Mara Region for the same purpose. EFFECTIV...
-
Shinyanga ni mji maarufu sana kwa utajiri wa Almasi, Dhahabu, Ng'ombe na madini mengine, lakini pia mji huu wenye wakazi wapatao milion ...
-
A large proportion of the Zanzibar export earnings come from cloves. The greatest concentration of clove trees is found on Pemba, as grow...
-
Opening the 3rd Exhibition in Paris, The French Minister for Culture and Communication, Frederic Mitterrand, said, "Mwanzo, I am dee...
-
Flame Tree Media Trust in collaboration with Time School of Journalism (TSJ) Announces Photojournalism Courses to begin soon at a newly es...
-
ERPC second phase is to curate an exhibition to tour some regions and produce a photo book that will show case all participant's work by...
-
This is from Christopher Lilai on Lukuledi River. From Said hamdani on Ruangwa artisan miners. From Elibariki Mafore on disadvantaged groups...

Raymond Mihayo na tumaini jipya kwa wasichana walioacha shule kutokana na kupata mimba lakini sasa wameweza kurejea tena kuendelea na masomo.










