Flame Tree Media Trust and Time School of Journalism announces Photography courses to begin soon at Talent Media Learning Centre at Ilala in Dar es Salaam, download this advert for more details.
Tuesday, June 1, 2010
Athuman Mtepa na ubadhirifu wa Miundombinu
Ubadhilifu wa miundombinu kama barabara na wizi wa vifaa vya madaraja pamoja na mabomba ya alama za barabarani ni tatizo kubwa si tu kwa mkoa wa Lindi, ubadhilifu huu umekuwa ukileteleza madhara makubwa kwa jamii. Athuman Mtepa alimulika tatizo hili kwa kuangalia mmoja wa waadhirika.
No comments:
Post a Comment