


Christopher Lilai, Mwandishi mwandamizi na Mwenyekiti wa Lindi Press Club ktk Mafunzo ya vitendo ya uwasilishi wa habari kwa njia ya picha alimulika adha waipatayo wakazi wa vijiji vya Mtumbya, Nyendegi na Mtandi la kukosa kivuko ktk Mto Lukuledi ambao unaunganisha vijiji hivyo ktk Wilaya ya Lindi Vijijini.
No comments:
Post a Comment