
D. Mkuchu, Mwandishi wa siku nyingi na mwakilishi wa ITV/Redio One mkoani Lindi, katika mafunzo kwa vitendo toka FTMT aliangalia tatizo la kutelekezwa kwa miundombinu Majosho na mabwawa ya Wafugaji ambayo imejengwa na serikali kwa gharama kubwa katika kijiji cha Marendego, Wilaya ya Kilwa na kufunguliwa kwa mbwembwe lakini haijawai kutumika.



No comments:
Post a Comment